Tuesday, December 29, 2009

ASANTE PULODYUZA


Kijana wenu Joseph shamba akikabidhiwa kitabu cha maisha na ujana toka kwa PULODYUZA WAKE SEKI ili apunguze Chui chui chui chuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

3 comments:

poWEROFGODFIRECHURCH.BLOGSPOT.COM said...

mi sisemi kijana kwa kupata chui m,mmh mpaka anazimika lkn kaka acha kidogo au ndo uchaga wenyewe

Anonymous said...

dah ebana i miss huyo kijana pulodyuza seki mpe big up.....!!!

Anonymous said...

Kwa kweli uyu kaka sio ulevi wa bia tu mpaka bangi anavuta mbaya zaidi yeye ni kioo cha jamii anakuja mtaani kuvuta bangi ananikera sana tena sana alafu anasema watu wamefulia wakati yeye ndio kafulia kutwa kashinda anavuta bangi makumbusho i hate him so much kwanza ata kuchekesha ajui bora apumzike afanye kitu kingine