Kwa kweli uyu kaka sio ulevi wa bia tu mpaka bangi anavuta mbaya zaidi yeye ni kioo cha jamii anakuja mtaani kuvuta bangi ananikera sana tena sana alafu anasema watu wamefulia wakati yeye ndio kafulia kutwa kashinda anavuta bangi makumbusho i hate him so much kwanza ata kuchekesha ajui bora apumzike afanye kitu kingine
3 comments:
mi sisemi kijana kwa kupata chui m,mmh mpaka anazimika lkn kaka acha kidogo au ndo uchaga wenyewe
dah ebana i miss huyo kijana pulodyuza seki mpe big up.....!!!
Kwa kweli uyu kaka sio ulevi wa bia tu mpaka bangi anavuta mbaya zaidi yeye ni kioo cha jamii anakuja mtaani kuvuta bangi ananikera sana tena sana alafu anasema watu wamefulia wakati yeye ndio kafulia kutwa kashinda anavuta bangi makumbusho i hate him so much kwanza ata kuchekesha ajui bora apumzike afanye kitu kingine
Post a Comment