Tuesday, June 21, 2011

MA BOY DIMOND S BACKKKKKKKK.

JAMANIIII NILIKUMISSS MY HSBND... NI KAMA WEMA ANASEMA HAHAHAHAHA
DIMOND NA SHEMEJI YETU WEMA KTK POZ AIRPORT BAADA YA MNYAMWEZ KUTUAA
JST POZ TU JAMANIIIIIII
MZEE BRINGGGGG PIA ALIKUWEPO KUMPOKEA MNYAMWEZI PANDE ILEEE
AYAAAA KAMA MBELE KUMBE NJIA PANDA YA GONGO LA MBOTOOOOO

4 comments:

Anonymous said...

Dah!!Full Maraha Kudadadeki!!PENDA UNAPO PENDWA WAJAMENI!!
Wish all the best to you!!Mpaka UZEEENI!!

Anonymous said...

mmmmh kazi ipo

mama 2 said...

Wema na Diamond wamependeza, nawaomba wafanye kweli basiiii ili wafunge midomo ya watu wanaowasema vibaya!!! Nimemsikia Wema kwenye kipindi cha Dida ameongea vizuri sana, kwa kweli kwa mara ya kwanza kumsikia Wema akiongea point. Hongera sana mama naona akili imeanza kukua, tulia na Diamond Mungu atawasaidia.

Anonymous said...

Masanja nawe umetoka kisharobaro!!! Pendeza saaaana!