Wednesday, July 28, 2010

Dah!!!!! KWELI MNISAMEHEEE TOKA TUZO ZA KILIIIIIIIIIII.......

Hawa jamaaa ktk kufurahia matuzo ya DAIMONDIIIIII waliisogelea kamera yangu
ilaa kamera ikapotea ndo nimeipata janaaaaa........
Hapa ni Mkulugenzi wa Orijino Komedi akishow SAMU LAVUUU na mwanadada kutoka Redio ya Watu ZAMARADIIII MTETEMAAAA


No comments: