Thursday, March 11, 2010

Kidogo nikabadilishana mawazo na my pipo wa MAPOGOLOOOOOO

Hii ni moja ya aina za usafiri zinazo tusafirisha kwenda na kurudi Chimala mjini toka MWASHIKAMILE tehtehtehtehteheeeeee

Hapa na wanangu wa SITE ONE Kapunga nikawapiga na masodaaaaa mpaka wakasazaaaa hahahahahaaaaaaaaaaa wanangu tenaaaa halafu hawajaniona kitamboooooooooo

Baada ya kuondoka Iringa nikafika Chimala ktk mto wa Ruwaha nikakuta ajali kama muonavyoooo jamaa wanatoa kwa trekta wap! wakavuta kwa ng'ombe wap! sa sikujua kilicho endeleaaa




Nikasema ngoja nipate kapicha ka peke yangu for kumbukumbu teh teh teh Dah1 ila Hostel za ukweliiiiiiiiiiiii kwa IRINGA???!!!

No comments: