Thursday, March 11, 2010

HAYAAAA!!!! KARIBUNI OFISINI KWETU VIJANA WENU WAPO MAJUKUMUNIIIIIIII ILA IWE SIRI YAKOOOO!!!!

Hapa Wakuvwanga akiwa sambamba na bi shost Mac (utaipendaaaaaaaa x2)
Nae mgosi mzee wa karanga mbichi na GOMA akapata chance ya kufotoa na shost Mac


Bepari la kihaya sambamba na Maimatha wa Jese haijajulikana Mai alikuwa anamkopa Bepari bei ganiiii hahahahahaaaaaa


Aaaaahhh!!! Mgosi akiwa ktk pozi na Jembeeeeeee!!!!!!!


Sasa Jembe si ushapona ??? Twende kazini ndugu yanguuuuu(Dodoeeeeeee kamchume dodoeee kamchumeeeee)









3 comments:

Anonymous said...

Jani wewe joti!, ebu nyoa manywele yako kwenye miguu utazani miguu ya jongololo,

Born 2 Suffer said...

Mwanawaneee mbona hatupati mpya siku hizi weka angalau tu video viwili vitatu humu tufulahi na sisi.

Anonymous said...

Duuuuuuu Joti hivyo Vinzi nzi miguu si mchezo hahahaha. mwambie Drogba akupe Mafuta ya nywele zake upakae miguuni yalalelale upepo ukipia yana chezacheza. Pazi.