Tuesday, December 29, 2009

ETI HUYU PACHA WANGUUU!!!!!!!!

Mselaaaa nimekutana nae pande za Bagamoyoooooo!!!! yaaaaaaaniiiii kama mimi sa najiuliza dingi yangu au yake ndo alikuwa
MOTO CHINIIIII???

2 comments:

Anonymous said...

Sawa lakini mmefanana kama magoti yani.

Anonymous said...

Kweli Duniani wawiliwawili, apo itabidi uongee vizuri na wazee