Wednesday, March 23, 2011

HAPA KAMA SIO FILAMU, BASI BONGE LA SONGIIIII

Ukimuona JB na RICH unajua hiyo ni filamu, ukimuona H baba,Ally kiba hapo ni songi sasa kaongezeka na Adam mkali toka VISIAL LAB tunatarajia tukio la ukweeeh!!!!

No comments: