Tuesday, March 16, 2010

LIVEEE!!!! ASHA BARAKA NA BANZA STONEEEEEEEE


Mama nilikuwa na shida ila hapa ishakuwa soo!!!! Cheki wapiga picha..... kama vp ntakutafuta mama........

5 comments:

Anonymous said...

Banza avya yako ndio kitu muimu jijali wewe kwanza usiacha kulala mcha na usiku masaa 8 hitakusaidia kwa maisha yako!

Anonymous said...

Wewe andikaivyo kuusu banza unabiff zako tu.Watu wengine bwana, ivi unashindwa kuwa na heshima na mziki wakwenu na wanamziki wakwenu,sasa kama banza anamuomba boss wake wa zamani hela we inakuusu nini. Na kama nimasanja ndo umeandika hii basi pole sana kaka maaana wewe umeanza juzi kujulikanatukilinganisha na kinabaza ambao nima legend adisasa na bado ajafa ilakesha weka alamayakekubwa ktkmusic wa tz. kumbukeni kua heshima nikitu cha bure kwaiyo mgaiye jamaa yake. Pasipona zarau wewe unatakiwa kumuheshimu sana banza ivyo ivyo aliivyo. Watuwanamzushia skendo etiameathirika namambo mengine kibao. Ata kama ni ivyo, mbona bongo wanakufa watuwengi tumi mwenyewekaka angu asha dedinajanga ilo. Banza ni legend wa kitanzaniakama alivyo kingkikiii na wengine, sie wapenzi waketunaomba aheshimiwe kama anavyostahili heshima. ASANTENI.

Anonymous said...

hahaaaaha duuuh jamaa kachoka kishenzi ,kweli bongo tambarare,


mdau, london

Anonymous said...

duuuuuuu mzee wa white house udachini upooooo?

Njonjo OK said...

I am doing research on blogs and I would like to send u few questions. Can u help? If you are willing please send me your email, because it is not shown in your blog. My email is "njonjo.kweja@gmail.com" I am njonjo mfaume, tutorial assistant at School of Journalism of the University of Dar es Salaam, and MA Journalism student at Makerere University.